CDTF , YACHANGIA VIJANA KUJIAJIRI

Taasisi ya Maendeleo ya Jamii (CDTF) huwawezesha wananchi hususani vijana kushiriki katika shughuri za uchumi ili wajikwamue na umasikini uliokithiri. Mwanzoni mwa mwaka 2019 uongozi wa CDTF uliamua kuanzishwa kwa mfumo wa kuweka na kukopa (revolving fund) ili kuwajengea uwezo vijana kushiriki kwa vitendo katika kujikwamua kiuchumi. Mfumo huu kwa sasa unawezesha kuwakopesha vijana pikipiki […]

Fighting climate change impacts at the local level

People in rural communities are likely to be the most severely affected by climate change impacts and yet they are often the least equipped to cope and adapt to these changes. Through community-based adaptation approaches, communities are empowered adequately use their own knowledge and decision-making processes to act on climate change. From 2017, CDTF has […]

Wanafunzi Mlinwa wapaza sauti kupata lishe mashuleni

Utolewaji lishe kwa wanafunzi mashuleni huongeza ufaulu wa wanafunzi nchini. Wanafunzi wa shule ya msingi Mlinwa waki hamasisha wazazi, serikali na wadau mbalimbali kusaidia lishe kutolewa mashuleni wakati wa uzinduzi wa bwalo la kisasa la chakula lililojengwa na CDTF kwa kushirikiana na KKKT, Serikali na wananchi kwa ufadhili wa OBA. Pia walimkaribisha Mgeni rasmi kuzindua […]

Tunashiriki kuhamasisha lishe mashuleni, kuinua ubora wa elimu

Viongozi wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii (CDTF) Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Henry Mgingi (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CDTF Mhandisi Leon Msimbe (kulia) wakijadiliana jambo walipokuwa shule ya Msingi Mlimwa kushirikiana na viongozi wa serikali, wananchi na wadau mbalimbali kwenye uzinduzi wa bwalo la chakula na lengo likiwa ni kuhamasisha lishe mashuleni […]