Tunashiriki kuhamasisha lishe mashuleni, kuinua ubora wa elimu
Viongozi wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii (CDTF) Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Henry Mgingi (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CDTF Mhandisi Leon Msimbe (kulia) wakijadiliana jambo walipokuwa shule ya Msingi Mlimwa kushirikiana na viongozi wa serikali, wananchi na wadau mbalimbali kwenye uzinduzi wa bwalo la chakula na lengo likiwa ni kuhamasisha lishe mashuleni […]
CDTF efforts to improve education sector through construction of dining hall at Mlinwa Primary School, Dodoma.
Community Development Trust Fund (CDTF) in collaboration with KKT under support from Operation Bootstrap Africa (OBA) has facilitated construction of dining hall for pupils at Mlinwa primary school. The dining hall will help pupils to get lunch and other conference activities comfortably during school hours. Providing food to pupils will improve learning and teaching activities […]