Tunashiriki kuhamasisha lishe mashuleni, kuinua ubora wa elimu

Viongozi wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii (CDTF) Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Henry Mgingi (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CDTF Mhandisi Leon Msimbe (kulia) wakijadiliana jambo walipokuwa shule ya Msingi Mlimwa kushirikiana na viongozi wa serikali, wananchi na wadau mbalimbali kwenye uzinduzi wa bwalo la chakula na lengo likiwa ni kuhamasisha lishe mashuleni […]

Page 3 of 3
1 2 3