Support People with Disabilities | Ushuhuda na ujumbe kwa walemavu

Taasisi ya Maendeleo ya Jamii (CDTF) inashiriki katika kuboresha hali za watu wenye ulemavu ili wawe na uwezo kama watu wengine kuwajibika kiutamaduni, kiuchumi, kijamii na kisiasa, na kujitegemea. Taasisi ya Maendeleo ya Jamii (CDTF) ni shirika lisilo la kiserikali lililoanzishwa na Lady Marion Chesham mwaka 1962 ikiwa na madhumuni ya kuwajengea uwezo wananchi kujitolea […]

Health supports initiative Kilosa and Njombe Districts

Community Development Trust Fund of Tanzania (CDTF) in collaboration with Olive Luena Education Trust (OLET) supported menstrual hygiene initiatives among students with disabilities at Mazinyungu Primary School in Kilosa District and Njombe Viziwi Primary and Secondary School in Njombe Town through provision of reusable sanitary pads. Many young girls tend to skip school, self-medicate and […]

CDTF na maendeleo ya sekta ya elimu- Mvomero

Taasisi ya Maendeleo ya Jamii (CDTF) mwaka 2016/17 ilishirikiana na wananchi wa kijiji cha Maguruwe kata ya Bunduki Wilaya ya Mvomero kujenga madarasa matatu na ofisi ya Walimu  shule ya msingi Maguruwe ili kuchochea na kuboresha sekta ya elimu . Wanafunzi katika shule ya msingi Maguruwe walikuwa wakisomea katika madarasa yenye miundombinu isiyoridhisha kulinganisha na […]

CDTF , YACHANGIA VIJANA KUJIAJIRI

Taasisi ya Maendeleo ya Jamii (CDTF) huwawezesha wananchi hususani vijana kushiriki katika shughuri za uchumi ili wajikwamue na umasikini uliokithiri. Mwanzoni mwa mwaka 2019 uongozi wa CDTF uliamua kuanzishwa kwa mfumo wa kuweka na kukopa (revolving fund) ili kuwajengea uwezo vijana kushiriki kwa vitendo katika kujikwamua kiuchumi. Mfumo huu kwa sasa unawezesha kuwakopesha vijana pikipiki […]

Fighting climate change impacts at the local level

People in rural communities are likely to be the most severely affected by climate change impacts and yet they are often the least equipped to cope and adapt to these changes. Through community-based adaptation approaches, communities are empowered adequately use their own knowledge and decision-making processes to act on climate change. From 2017, CDTF has […]

Wanafunzi Mlinwa wapaza sauti kupata lishe mashuleni

Utolewaji lishe kwa wanafunzi mashuleni huongeza ufaulu wa wanafunzi nchini. Wanafunzi wa shule ya msingi Mlinwa waki hamasisha wazazi, serikali na wadau mbalimbali kusaidia lishe kutolewa mashuleni wakati wa uzinduzi wa bwalo la kisasa la chakula lililojengwa na CDTF kwa kushirikiana na KKKT, Serikali na wananchi kwa ufadhili wa OBA. Pia walimkaribisha Mgeni rasmi kuzindua […]

Page 2 of 3
1 2 3